Kwa ujumla, mmomonyoko wa ufuo husababishwa na mizunguko ya maji, mikondo, mawimbi na hali mbaya ya hewa, na pia unaweza kuchochewa na shughuli za binadamu.Mmomonyoko wa fukwe unaweza kusababisha ukanda wa pwani kupungua, na kutishia mfumo wa ikolojia, miundombinu na usalama wa maisha ya wakaazi katika eneo la pwani...
Soma zaidi